Waziri Mkuu aagiza vyama viwili vichunguzwe Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa amebaini Kasoro nyingi kwenye Vyama Vikuu vya Ushirika vya Mbinga (MBICU na MBIFACU) na kuagiza uchunguzi ufanyike kuanzia jana. Read more about Waziri Mkuu aagiza vyama viwili vichunguzwe