Yanga yakanusha taarifa
Timu ya Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara kupitia Meneja wake Hafidh Saleh amefunguka na kudai si kweli jina la mlinda mlango namba moja wa timu hiyo, Youthe Rostand halijasajiliwa CAF kama baadhi ya watu wanavyodai.

