"Wanahangaika tu kutuchonganisha"- Makonda
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda amefunguka na kumuomba Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kutosikiliza maneno ya mashetani ambao wanataka kuwachonganisha baina yao ili wasiweze kupatana katika utendaji kazi wao.

