Kamusoko na Rostand waachwa

Kocha George Lwandamina wa mabingwa watetezi wa ligi kuu soka Tanzania Bara Yanga, ameendelea kuwaweka nje ya kikosi kiungo Thabaani Kamusoko na mlinda mlango Youthe Rostand licha ya kuelezwa kuwa wamepona.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS