Mwakyembe kumkutanisha Infantino na Magufuli

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe ameahidi kufanya jitihada za kumkutanisha Rais wa FIFA Gianni Infantino na Rais Magufuli kwaajili ya kujadili namna ya kuendeleza soka nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS