"Ntakimbilia wapi"- Rais Magufuli Rais Dkt. John Magufuli. Rais Dkt. John Magufuli amesema mara zote anaposikia matatizo yametokea eneo fulani fulani huwa anajiuliza akimbilie wapi ili aweze kupata msaada wa utatuzi wa jambo hilo bila ya kuleta athari yeyote katika taifa. Read more about "Ntakimbilia wapi"- Rais Magufuli