TFF yamwadhibu tena Nyoso Shirikisho la soka nchini TFF kupitia Kamati yake ya Nidhamu imemfungia mechi tano na adhabu zingine mchezaji wa Kagera Sugar Juma Nyoso kwa kosa la kumpiga shabiki baada ya mechi. Read more about TFF yamwadhibu tena Nyoso