Waziri Mkuu atoa agizo kwa TANESCO

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amemtaka Meneja wa TANESCO wilaya ya Ruangwa, Bw. Samuel Pyuza kuhakisha umeme unapatikana mapema kwenye pampu ya maji ili kukamilisha mradi wa maji wa Namahema ‘A’.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS