Ijue safari ya George Weah mpaka kuwa Rais Mchezaji bora wa zamani wa dunia na raia wa Liberia George Weah amechaguliwa kuwa Rais wa nchi hiyo akimshinda mpinzani wake ambaye ni makamu wa Rais anayemaliza muda wake Joseph Boakai. Read more about Ijue safari ya George Weah mpaka kuwa Rais