Ahadi ya Alikiba kwa mashabiki Msanii wa Bongo Fleva Saleh Ali maarufu kama Ali Kiba amewaomba radhi mashabiki wake na kuwaahidi kufungua mwaka kwa kishindo kufuatia kushindwa kufanya tamasha la Funga Mwaka na King Kiba. Read more about Ahadi ya Alikiba kwa mashabiki