Mwakyembe amlilia Mayage
Waziri wa Habari Sanaa Utamaduni na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe amesema amepokea kwa masikitiko makubwa kifo cha Mwanahabari nguli Mayage S. Mayage kilichotokea asubuhi jana tarehe 25 Decemba, katika Hospitali ya Mbweni Misheni Dar es salaam