Mwakyembe amlilia Mayage

Waziri wa Habari Sanaa  Utamaduni na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe amesema amepokea kwa masikitiko makubwa kifo cha Mwanahabari nguli Mayage S. Mayage kilichotokea asubuhi jana tarehe 25 Decemba, katika Hospitali ya  Mbweni Misheni Dar es salaam

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS