"Vita ni vita mura"- Esther Bulaya
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA na Mbunge wa Bunda, Mhe. Ester Bulaya ametangaza vita katika Jimbo la Kinondoni huku akiapia kwa Mungu wake kuwa atalinda kura za mgombea wao na lazima atangazwe mshindi kwa madai wamejipanga vilivyo.

