Harry Kane awaongelea Messi na Ronaldo

Mshambuliaji wa Tottenham Harry Kane amesema kitendo cha kufananishwa na wachezaji  kama Lionel Messi na Cristiano Ronaldo ni jambo kubwa maishani kwake na ataendelea kuhakikisha anakuwa bora siku hadi siku.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS