"Akijichanganya tunachapa"- Msukuma

Mbunge na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Geita, Joseph Msukuma amefunguka na kudai upinzani wa kweli upo ndani ya CCM na wala sio kata vyama vingine kwa maana Waziri yeyote akifanya ndio sivyo wana uwezo wa kumuadabisha.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS