Mama Sitta aibeba hoja ya Mbunge wa CHADEMA
Mwenyekiti wa Chama cha Wabunge wanawake TWPG, Bi. Magreth Sitta ameitaka serikali kuandaa mazingira na miundombinu itakaowasaidia watoto wa kike kupata elimu bila kukatisha masomo wanapokuwa katika kipindi cha hedhi.

