Mama Sitta aibeba hoja ya Mbunge wa CHADEMA

Mwenyekiti wa Chama cha Wabunge wanawake TWPG, Bi. Magreth Sitta ameitaka serikali kuandaa mazingira na miundombinu itakaowasaidia watoto wa kike kupata elimu bila kukatisha masomo wanapokuwa katika kipindi cha hedhi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS