Mpya kuhusu uokoaji wa miili Ziwa Tanganyika
Baada ya kuokoa miili 19 ya watu waliozama katika Ziwa Tanganyika mkoani Kigoma, Jeshi la Polisi kupitia kwa Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani humo Switibert Njewike, limesema kazi ya uokoaji bado inaendelea.