Baba ashikiliwa kwa mauaji ya mwanae
Jeshi la Polisi Mkoani Tabora linawashikila watu watatu akiwemo baba mzazi wa mtoto Leokadia Maganga, mwenyekiti pamoja na mtendaji wa kata ya Ndala wilaya ya Nzega mkoani Tabora, kwa tukio la mauaji ya mtoto huyo mwenye umri wa miaka 11.