Baba ashikiliwa kwa mauaji ya mwanae

Jeshi la Polisi Mkoani Tabora  linawashikila watu watatu akiwemo baba mzazi wa mtoto Leokadia Maganga, mwenyekiti pamoja na mtendaji wa kata ya Ndala wilaya ya Nzega mkoani Tabora, kwa tukio la mauaji ya mtoto huyo mwenye umri wa miaka 11.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS