Mwigulu asema sababu za Upinzani kugomea uchaguzi

Waziri wa Mambo ya Ndani,  Dk. Mwigulu Nchemba amezindua kampeni za Chama cha mapinduzi katika uchaguzi mdogo  jimbo la Longido unaotarajiwa kufanyika January 13, 2018 na kusema kwamba wapinzani wameogopa kushiriki kwa sababu wataachwa mbali sana.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS