Timu ya Kikwete yaifunga Man United Klabu ya soka ya Manchester United leo imekubali kichapo cha bao 1-0 kutoka kwa klabu ya Newcastle United ambayo inashabikiwa na Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete. Read more about Timu ya Kikwete yaifunga Man United