Ester Bulaya alia na fao la kujitoa Esther Bulaya. Msemaji wa Kambi Rasmi ya Upinzani Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Esther Bulaya amesema bado lipo hitaji muhimu la kuwepo fao la kujitoa kwani linaweza kumtoa mwanachama kwenye umaskini wa kipato. Read more about Ester Bulaya alia na fao la kujitoa