Yanga yatoa tamko kuhusu usajili

Katibu Mkuu wa  Yanga  Charles Mkwasa, amethibitisha kwamba timu hiyo haitoongeza mchezaji mwingine kwa masaa yaliyobaki ya dirisha dogo la usajili, baada ya kupata saini ya Yohana Mkomola pamoja na  beki Festo Kayembe kutoka Balende FC ya DRC.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS