Arsenal yavunja rekodi yake Klabu ya soka ya Arsenal hatimaye imevunja rekodi yake ya usajili baada ya kutumia kiasi cha £ 56 milioni (Bilioni 156) kukamilisha usajili wa nyota wa Gabon Pierre-Emerick Aubameyang kutoka Borussia Dortmund. Read more about Arsenal yavunja rekodi yake