Arsenal yavunja rekodi yake

Klabu ya soka ya Arsenal hatimaye imevunja rekodi yake ya usajili baada ya kutumia kiasi cha £ 56 milioni (Bilioni 156) kukamilisha usajili wa nyota wa Gabon Pierre-Emerick Aubameyang kutoka Borussia Dortmund.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS