Yanga yatangulia, Chirwa akikosa Penalti

Mabingwa wa soka nchini klabu ya Yanga imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya timu ya Saint Louis Suns United ya Shelisheli kwenye mchezo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Africa, mchezo ambao umemalizika jioni hii uwanja wa Taifa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS