Waziri aagiza Mkurugenzi achunguzwe

Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Morogoro Vijijini,  Sudi Mussa Mpiri atafanyiwa uchunguzi kutokana na utendaji wake kutoridhisha ikiwemo kushindwa kutekeleza miradi ya maendeleo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS