Salum Mwalimu amshambulia Mtulia

Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kinondoni (CHADEMA), Salum Mwalimu amemshambulia mgombea mwenzake Maulid Mtulia kwa maneno kuwa kazi ya Mbunge sio kuomba omba wala kulilia bali anapaswa kutetea haki na maslahi ya wananchi katika jimbo lake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS