Jamhuri yakwama kwa Sheikh Ponda Mahakama Kuu ya Tanzania imemuachia huru Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini Sheikh Issa Ponda dhidi ya rufaa ilityokatwa na Jamhuri kupinga hukumu ya Mahakama ya Morogoro kumuachia huru kiongozi huyo. Read more about Jamhuri yakwama kwa Sheikh Ponda