CUF kuigaragaza CHADEMA na CCM 

Mgombea Ubunge wa jimbo la Kinondoni (upande wa Mwenyekiti Prof. Lipumba anayetambuliwa na msajili wa vyama), Rajab Salum kwa tiketi ya CUF, amedai anauhakika chama chake kitashinda kwenye uchaguzi huu kwa zaidi ya 56% kutokana na utafiti alioufanya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS