''Kwa hili CHADEMA mnajisumbua''

Mbunge wa Iramba Magharibi na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba

Mbunge wa Iramba Magharibi na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba amesema atawashangaa sana kuona wananchi wa jimbo la Kinondoni wakimpigia kura mgombea wa CHADEMA Salum Mwalimu kwa madai Ilani inayofanya kazi ni moja tena ya CCM.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS