Sugu amkataa Hakimu
Mbunge wa Mbeya Joseph Mbilinyi "Sugu" na Katibu wa Chadema Kanda ya Nyasa Emmanuel Masonga, wamemkataa Hakimu Mkazi Mfawidhi Michael Mteite kuendelea kusikiliza yao inayowakabili kwa madai anapendelea upande mmoja na hawezi kutenda haki.

