Wanyarwanda kutotambulika kama wakimbizi Mataifa mbalimbali duniani, hayatawatambua tena raia wa Rwanda waliokimbia nchi yao kati ya mwaka 1959 hadi 1988 kama wakimbizi baada ya muda waliopewa kurudi nyumbani kumalizika mwisho wa mwaka 2017. Read more about Wanyarwanda kutotambulika kama wakimbizi