Wanafunzi 650,862 wachaguliwa kidato cha kwanza

Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Tamisemi, Selemani Jafo, amesema jumla ya wanafunzi 650,862 ambao sawa na asilimia 98.31, wamefanikiwa kuchaguliwa kujiunga na masomo ya kidato cha kwanza katika awamu ya kwanza mwaka 2018.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS