Watu 40 watuhumiwa kuuwa watu wawili Jeshi la Polisi mkoa wa Mara linawashikilia watu zaidi ya 40, wakazi wa Kijiji cha Mikomariro wilayani Bunda kwa tuhuma za mauaji ya watu wawili sababu ikitajwa kuwa ni mgogoro wa mpaka wa shamba. Read more about Watu 40 watuhumiwa kuuwa watu wawili