Ajibu awapigia magoti wanayanga

Baada ya kutolewa katika michuano ya kombe la mapinduzi kwa kipigo cha penalti 5-4 dhidi ya URA, Mshambuliaji wa Yanga, Ibrahim Ajibu Migomba ameomba radhi kwa mashabiki wa timu hiyo kutokana na matokeo hayo mabaya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS