Nuh Mziwanda amtupia 'dongo' Shilole

Baada ya kuenea  kwa picha katika mitandao ya kijamii  za Muingizaji na Msanii Zuwena Mohamed,maarufu kama Shilole zikionyesha kuwa amefunga ndoa na mpenzi wake Uchebejana usiku , aliyekuwa mpenzi wa Shilole, Nuh Mziwanda ametuma dongo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS