Mghwira amrithi Meck Sadick

Aliyekuwa Mgombea urais 2015 kwa tiketi ya Chama Cha ACT Wazalendo Bi Anna Elisha Mghwira ameteuliwa leo na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. John Pombe Magufuli kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS