Hanscana kuokoa ajira za vijana ndani ya sanaa

Hanscana

Muongozaji wa video  za muziki nchini ambaye kwa sasa ameshika chati Bongo,  Hanscana amefunguka na kudai kuwa kutegemea kukopi vitu vya kutoka nje ya Bongo kama vile nchi za Afrika kusini ni kuua ajira za watu wengi wa Afrika Mashariki.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS