Kishindo cha Prof. Kitila chaanza na DAWASCO
Katibu mkuu wa wizara ya maji Prof: Kitila Mkumbo amelitaka shirika la maji safi na taka nchini DAWASCO kuhakikisha wanawekeza sana kwenye usambazaji wa maji kwani ni aibu kwa jiji la Dar es salaam kuwa na maeneo ambayo hayana maji.