Sirro : Ubaya tutaujibu kwa ubaya

IGP Simon Sirro

IGP Simon Sirro amewaonya wahalifu wanaojishughulisha na mauaji mkoani Pwani kuacha mara moja kwani ndani ya muda mfupi ataenda kuwafichua kwa kutumia vyombo vyake vya dola ili kulinda amani ambayo imepotezwa na kikundi cha watu wachache.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS