Kutumia ushirikina ni sawa - Sam wa Ukweli
Msanii Sam wa Ukweli ambaye hivi sasa anafanya vyema na wimbo wake wa 'Kisiki' amefunguka na kusema ushirikina kama ukiutumia vyema kwa ajili ya mambo yako ya faida kama kazi zako au ya kimaendeleo ni sawa.