Dar yazidi kuongoza kwa watoto wa mitaani

Waziri Ummy Mwalimu

Serikali imekiri kuwepo kwa ongezeko la watoto wanaoishi na kufanya kazi mitaani hasa katika miji mikubwa nchini ambapo takwimu zinaonesha kuwa Jiji la Dar es salaam linaongoza kwa asilimia 28 ya watoto hao nchini

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS