Tanzania ya viwanda hamuiwezi - Lema Godbless Lema Mbunge wa Arusha Mjini (CHADEMA) Mhe. Godbless Lema amefunguka na kusema serikali ya awamu ya tano haiwezi kuibadili Tanzania na kuwa nchi ya viwanda kwa sababu fedha zilizopelekwa katika sekta hiyo ni ndogo. Read more about Tanzania ya viwanda hamuiwezi - Lema