Wasaidizi wa Rais ni wanafiki - Dkt. Kafumu
Mbuge wa Igunga Dk. Dalaly Peter Kafumu amefunguka na kusema kuwa wasaidizi wa Rais wakiwemo wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), mawaziri, na wabunge wa upinzani na washauri wa karibu wa Rais wamekuwa wanafiki na kushindwa kumshauri