Bilioni 1.5 zatumika kudhibiti Ebola Tanzania

Waziri Ummy Mwalimu akizungumza na wanahabari

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Ally Mwalimu amesema mpaka sasa hakuna mgonjwa wa Ebola wala anayehisiwa kuwa na virusi vya ugonjwa huo nchini Tanzania huku Tsh. bilion 1.5 zikiwa zimetumika kuukabili ugonjwa huo

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS