Abdi Banda wa kwanza (kushoto), akiwa na wachezaji wenzake wa Simba baada ya kutwaa Kombe la Shirikisho
Mlinzi kilaka wa klabu ya Simba Abdi Banda amesema anaondoka klabuni hapo kwa kuwa makataba wake umeisha na hakuna mazungumzo yanayoendelea kati yake na uongozi wa wekundu hao, hadi sasa.