TID afichua rushwa inavyowatafuna wasanii
Mzee Kigogo 'Mnyama TID' amedai kuchukizwa na baadhi ya wadau wa muziki wanaowadai wasanii pesa ndipo ngoma zao ziweze kupenya kwenye masikio ya mashabiki kitu ambacho kinachangia kupotea kwa vipaji vingi mtaani.