Yanga yalimwa faini ya Tsh. Milioni 5
Klabu ya Yanga imepigwa faini ya jumla ya shilingi milioni 5 kwa makosa mbalimbali iliyobainika kuyafanya kwa mujibu wa kanuni za uendeshaji wa ligi kuu Tanzania Bara msimu uliomalizika wa 2016/17 huku wachezaji wake watatu wakisimamishwa

