Prof. Muhongo atumbuliwa rasmi

Prof. Sospeter Muhongo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa Waziri wa Nishati na Madini Prof. Sospeter Mwijarubi Muhongo kuanzia leo tarehe 24 Mei, 2017.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS