JPM amuomba Muhongo ajitumbue mwenyewe
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli amemuomba Waziri wa Nishati na Madini Prof. Sospeter Muhongo kujiuzulu nafasi yake kutokana na kushindwa kusimamia suala ya usafirishaji wa machanga nje nchi kwa manufaa ya taifa.

