Chama cha waganga kusaka waganga feki
Chama cha Waganga wa Tiba Asilia na Wakunga wa Jadi (CHAWATIATA) imeanza msako mkali wa kuhakiki na kuwaondoa waganga feki jijini Tanga wanaotuhumiwa kwa vitendo vya udhalilishaji na ukiukwaji wa maadili kwa kisingizio cha kutoa tiba za kienyeji. Hatua hiyo inalenga kulinda heshima ya taal

