Chama cha waganga kusaka waganga feki

Chama cha Waganga wa Tiba Asilia na Wakunga wa Jadi (CHAWATIATA) imeanza msako mkali wa kuhakiki na kuwaondoa waganga feki jijini Tanga wanaotuhumiwa kwa vitendo vya udhalilishaji na ukiukwaji wa maadili kwa kisingizio cha kutoa tiba za kienyeji. Hatua hiyo inalenga kulinda heshima ya taal

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS