Salah ashinda tuzo ya Mchezaji bora wa Msimu Mohamed Salah - Mshambuliaji wa Liverpool Mshambuliaji wa Liverpool Mohamed Salah ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa msimu wa 2024-2025 zinazotolewa na Chama cha waandishi wa habari za soka. Read more about Salah ashinda tuzo ya Mchezaji bora wa Msimu