Gambo asema hatojibu wanaokodishwa kumsema
Mbunge wa Arusha Mjini amesema kuwa yeye sio Malaika lakini hakuwahi kutumia nafasi yake yoyote ya Uongozi aliyowahi kuitumikia katika kuumiza na kudhalilisha wananchi ama Viongozi wenzakez akiapa kuwa hatomjibu yeyote kwa ubaya na badala yake amemuachia Mungu kwani ndiye ajuaye