Chric
Its baby CHRIC from Moshi holla 5 kwa babu na bibi yake mr & mrs Thomas Mboya wakiwa Tabora uncle zake na mama wadogo zake wote wakiwa Moshi Arusha, Dar es salam na Tabora. Enewz ndo mpango mzimaaaaa!!!!!!!!
Ibrahim Sinsakala
Hi every one, my name is Ibrahim sinsakala kutoka Temeke Dar es salaam, Hi kwa washkaji zangu wote wa Stanley secondary school na Montifort Secondary, Ujumbe tukaze kwenye life 2tatoka tu! trust Hollaaaaaaaaa5, Na nina wazma kama Tanesco ziiiiiii
Kemmylembe Seperati
Naitwa Kemmylembe Seperati wa msasani, nawapa holla 5 familia yangu yote ya Msasani, ujumbe nawapenda sana, chezea eNewz, utadeki bahari! Hallo 5
Benjamin Liponda
Kwakweli mimi napenda eNewz kuliko kila kitu, hata mchupa :D.