Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Lipumba kuachia chama, Seif kuondoka?

Thursday , 14th Mar , 2019

Chama cha Wananchi (CUF) upande wa Maalim Seif kimesema kipo tayari kwa maamuzi yoyote yatakayotolewa na Mahakama ya kwamba nani atakuwa na uhalali wa kukiongoza chama hicho.

Kushoto ni Lipumba, Maalim Seif kulia.

Hayo yamesemwa na  Naibu Mkurugenzi wa Habari, wa chama hicho Maharagande Mbarala kwamba mpaka sasa chama chao bado hakijaitisha Mkutano Mkuu kwa kuwa wanasubiri maamuzi ya mahakama.

Akijibu ni kwanini mpaka sasa Mkutano huo haujaitishwa ilihali Mwenyekiti anayetambuliwa na Msajili wa Vyama vya Siasa, Prof. Lipumba amefanya Mkutano jana na kufanya Uchaguzi, Mbarala amesema uchaguzi Mkuu ulipaswa kufanyika mwezi Juni, hivyo muda wa uchaguzi, kama utafika kabla ya mahakama haijatoa maamuzi Katiba imewapa nafasi ya kuongeza miezi sita mbele.

Ameongeza kwamba Katibu Mkuu wa Chama hicho, Maalim Seif alishawahi kusema kwamba wataangalia cha kufanya baada ya mahakama kumtaja nani ni halali.

"Kama mahakama ikisema Lipumba ni halali kuwa Mwenyekiti tutakuja kujadiliana kuangalia namna gani ya kufanya, kama kumuachia chama alichopewa na mahakama au kukata rufaa. Lakini kama Lipumba hatakuwa na uhalali itabidi atupishe atuachie chama chetu", amesema.

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini