Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Maalim Seif apewa uongozi wa juu ACT

Monday , 10th Jun , 2019

Kamati Kuu ya Chama cha ACT-wazalendo iliyoketi Juni 9 na 10, imefanya uteuzi wa viongozi wa kitaifa ili kuboresha safu ya uongozi wa kitaifa wa chama hicho.

Maalim Seif alipokuwa akikabidhiwa kadi ya chama.

Miongoni mwa viongozi walioteuliwa ni pamoja na Maalim Seif Hamad ambaye sasa ameteuliwa kuwa Mshauri Mkuu wa Chama, ikiwa ni moja ya ngazi kubwa katika chama hicho.

Viongozi wengine walioteuliwa katika mkutano huo ni, nafasi ya wajumbe wanne wa Kamati Kuu ya chama ambao ni, 1. Ndugu Theopista Kumwenda, 2. Ndugu Mwajabu Dhahabu, 3. Ndugu Fatma Fereji, 4. Ndugu Eddy Riyami. Wengine ni Wenyeviti na Makatibu wa Kamati za Kitaifa.

Mwenyekiti wa Kamati ya Fedha na Miradi ni ndugu Nassor A. Marzurui, Mwenyekiti wa Kamati ya Itikadi, Mawasiliano na Uenezi ni Salim A. Bimani, Mwenyekiti wa Kamati ya Kampeni na Uchaguzi, Joram Bashange, Mwenyekiti wa Kamati ya Oganaizesheni, Mafunzo na Wanachama, Mhonga Ruhwanya na Mwenyekiti wa Kamati ya Mikakati, Usimamizi na Ufuatiliaji, Ismail Jussa.

Ikumbukwe kuwa Maalim Seif pamoja na wafuasi wake walihamia ACT-wazalendo kutokea Chama cha Wananchi CUF kufuatia mgogoro wa muda mrefu ndani ya chama hicho.
 

HABARI ZAIDI

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini