Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mahakama yamwachia huru, mbunge wa CHADEMA

Friday , 10th Aug , 2018

Mahakama ya Wilaya ya Mbozi mkoani Songwe imewaachia huru mbunge wa Mbozi, Pascal Haonga na wenzake wawili baada ya kukutwa hawana hatia kwenye kesi iliyokuwa ikiwakabili.

Mbunge wa Mbozi, Pascal Haonga ( wa kwanza kulia) akiwa na viongozi wa CHADEMA .

Haonga, Wilfredy Mwalusamba (Katibu wake) na Mashaka Mwampashi walishtakiwa kwa makosa matatu yakiwemo ya kufanya fujo na kuvuruga mkutano wa uchaguzi wa baraz la mji mdogo wa Mlowo na kuwazuia askari katika kutekeleza wajibu wao.

Washtakiwa hao wameachiwa huru baada ya Jamhuri kushindwa kuthibitisha makosa dhidi yao.

Akisoma hukumu hiyo, hakimu Mfawidhi wa Mahakama hiyo, Nemes Chami amesema katika mashtaka yote matatu, upande wa mashitaka umeshindwa kuthibitisha makosa.

 Mbunge huyo na wenzake walidaiwa kutenda kosa hilo, Agosti 28, 2017 .

Tukio la kusomwa hukumu hiyo lilihudhuriwa na Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Vicent Mashinji, mwenyekiti wa chama hicho kanda ya Nyasa, mbunge wa Iringa mjini, Mchungaji Peter Msigwa na katibu wake, Emmanuel Mwasonga.

 

 

 

 

 

HABARI ZAIDI

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini